Skip Global Navigation to Main Content
Skip Breadcrumb Navigation
Habari Kutoka Ubalozi

Wachangiaji Damu: Mashujaa Wanaookoa Maisha

June 13, 2013
Alfonso E. Lenhardt, Balozi wa Marekani katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (Picha kwa hisani ya Ubalozi wa Marekani)

Kila mmoja wetu, katika wakati mmoja au mwingine wa maisha yake anaweza kukabiliana na janga lisilotarajiwa. Ajali za barabarani, upungufu wa damu utokanao na malaria au matatizo ya uzazi yanaweza kutokea wakati wowote na kuhitaji jitihada za haraka za kuokoa maisha. Jitihada hizi zinaweza kuwa ni zile zinazotegemea tu upatikanaji wa kundi sahihi la damu kutoka katika benki ya damu. Kwa bahati mbaya sana, mara nyingi ukosefu wa damu husababisha vifo ambavyo vingeweza kabisa kuepukika. Kutokana na hali hiyo, mara nyingi kitendo cha mgonjwa kuwekewa damu ni jambo linalotofautisha uzima na kifo... (Habari Zaidi)

Ripoti