Habari Kutoka Ubalozi
Tamko kuhusu Hali ya Sasa ya Kisiasa huko Zanzibar
Novemba 9, 2009
Tumepokea vyema taarifa kuwa viongozi wa vyama vikuu viwili vya siasa visiwani Zanzibar wamekutana na kujadili kuhusu “haja ya kudumisha amani, maelewano na ushirikiano miongoni mwa Wazanzibari wote.” Kwa muda mrefu tumekuwa tukitoa wito kwa viongozi wa kisiasa wa Zanzibar kutetea na kusimamia siasa za maendeleo, amani na haki ili pasiwe na Mzanzibari yeyote anayejihisi kuwekwa pembezoni katika kuwa na sauti kuhusu ueandeshaji wa serikali yake na pasiwe na Mzanzibari yeyote anayekuwa na hofu ya kudhuriwa kutokana na msimamo wake wa kisiasa. Ni matarajio yetu kuwa kama sehemu ya kuendeleza nia njema ya mkutano huu, viongozi wa Zanzibar watachukua hatua mahsusi za kujenga mazingira mazuri ya kisiasa visiwani Zanzibar (Habari Zaidi)
Watu wa Miono wapokea vyema Uzinduzi wa Maabara Mpya
Miono, Mkoa wa Pwani: Hapo Jumapili tarehe 4 Oktoba 2009, maabara mpya ilizinduliwa katika Kituo cha Afya cha Miono, kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani. Uzinduzi huu (Habari Zaidi)
Aina mpya ya maombi ya viza (kibali cha kusafiria) kwa wasafiri wa mara kwa mara
Kuanzia tarehe 02 mwezi wa 11, 2009 Ubalozi wa Marekani Tanzania utaondoa kipengele cha mahojiano kwa wale wanaosafiri mara kwa mara (viza aina ya B1/B2) na (Habari Zaidi)
Ziara ya Makocha wa Mpira wa Kikapu wa Tanzania kwenda Marekani
...Ninafuraha kubwa kuwakaribisha nyote hapa siku ya leo. Kama ambavyo mnaweza kuwa mnafahamu, Ubalozi wa Marekani umekuwa ukiendesha programu mbalimbali (Habari Zaidi)
Waandishi wa Habari Wapatiwa Mafunzo nchini Marekani
Waandishi wa habari tisa kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini wamerejea nchini hivi karibuni baada ya kuhudhuri programu ya mafunzo ya mwezi mmoja nchini (Habari Zaidi)
Ripoti za Nchi Kuhusu Mwenendo wa Haki za Binadamu (2008)
(Adobe Acrobat - 272kb)
Imetolewa na Ofisi ya Demokrasia, Haki za Binadamu na Kazi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani
Februari 25, 2009



