Skip Navigation
Skip Left Section Navigation

Matukio Katika Picha

Jenerali William E. “Kip” Ward, Kaimu Kamanda wa Kamandi ya Ulaya ya jeshi la Marekani atembelea Tanzania

 

Jenerali William E. “Kip” Ward, Kaimu Kamanda wa Kamandi ya Ulaya ya jeshi
la Marekani alikutana na Balozi wa Marekani nchini Michael Retzer; Waziri wa
Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Prof. Juma Kapuya, Mkuu wa Majeshi Jenerali
George Waitara; na viongozi wengine mjini Dar es salaam Machi 3, 2007.
Mandumuni ya ugeni huo ni kujenga mahusiano na viongozi wa nchi na
kupata mawazo yao kuhusu mambo ya sasa na ya baadaye ya ushirikiano kati
ya Marekani na Tanzania. Ward na ujumbe wake unawatembelea viongozi
wengine muhimu wa Burundi, Ethiopia, Rwanda, na Uganda.

 Wakiwa Ikulu ni (kutoka kushoto) Balozi Retzer, Jenerali Ward na Rais Kikwete. (Machi 3, 2007)
Wakiwa Ikulu ni (kutoka kushoto) Balozi Retzer, Jenerali Ward na Rais Kikwete.
Machi 3, 2007.  
Wakitoka Ikulu ni (kutoka kushoto) Balozi Retzer, Rais Kikwete na Jenerali Ward.
Waziri Kapuya akipokea zawadi kutoka kwa Jenerali Ward.  More...