Mkufunzi wa Kiswahili kutoka Tanzania, Beatrice Mkenda akiongoza mduara wa wanafunzi wa kimarekani wanaojifunza masuala ya Kiafrika katika shule ya Madison, jimbo la Wisconsin. Mkenda anafundisha Kiswahili kwenye Chuo Kikuu Wisconsin kilichopo Madison chini ya mpango wa Fulbright unaofadhiliwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani. (Machi 2007).
|