Kiswahili Press Releases 2005-2006
- Serikali ya Marekani yatoa mafunzo ya teknolojia ya kuchunguza makosa ya jinai kwa Jeshi la Polisi Tanzania (Novemba 9, 2006)
- Maonesho ya Vyuo Vikuu vya Marekani 2006 (November 8, 2006)
- Mradi Mpya wa Elimu ya Mazingira Wazinduliwa (October 31, 2006)
- Mfuko wa kuimarisha demokrasia na haki za binadamu watoa msaada wa shilingi milioni 65.2 (Oktoba 26, 2006)
- Mama Salma Kikwete ahamasisha kushiriki kwa Tanzania kwenye tamasha la kimataifa la utamaduni (Oktoba 17, 2006)
- Wamarekani wavutiwa na ziara ya Mama Kikwete (Oktoba 03, 2006)
- Ubalozi wa Marekani wakabidhi mradi wa maji wa Lengasti (Septemba 21, 006)
- Mpango wa PEPFAR watoa dola milioni 25 kusaidia mradi wa “UJANA
- Miradi 15 yapokea Sh. Milioni 87.9 kutoka kwenye mfuko maalum wa Balozi wa Marekani wa kusaidia maendeleo katika jamii (Agosti 30, 2006)
- Wahudumu wapya 36 wa Huduma ya Kujitolea ya Peace Corps waapishwa Kilosa (August 16, 2006)
- Shirika la USAID latoa msaada wa dawa na vifaa kusaidia kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa malaria katika wilaya za Muleba na Karagwe (Juli 25, 2006)
- Shirika la USAID latoa msaada wa dola 400,000 wa vitabu na vifaa vya shule Zanzibar (Julai 18, 2006)
- Wizara ya Ulinzi ya Marekani yatoa dola 89,000 kusaidia ujenzi wa miradi miwili ya maji katika visiwa vya Unguja na Pemba (Julai 14, 2006)
- Saba Saba 2006: Banda la Marekani kubwa zaidi, bora zaidi na thabiti zaidi (Juni 28, 2006)
- Ofisa wa Marekani atua Dar kujadili mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia (June 22, 2006)
- Wajasiriamali Watanzania 15 kuhudhuria maonyesho ya kimataifa ya biashara ya ‘franchise’ nchini Marekani (Mei 26, 2006)
- Wawakilishi wanawake waungana kupiga vita unyanyapaa (Mei 24, 2006)
- Warsha ya AGOA yatambulisha mpango mpya wa Marekani kuboresha ushindani (Mei 11, 2006)
- Kiongozi wa wanawake wa Kimasai afanya ziara ya mafunzo Marekani (Machi 30, 2006)
- USAID yasaidia kuandaa warsha ya kupitia upya mpango wa usimamizi wa hifadhi za wanyama za Grumeti-Ikorongo (Aprili 24, 2006)
- USAID yaongeza msaada wa Shs 847,700,000 kuzuia homa ya ndege (Machi 24, 2006)
- Utafiti wabainisha Watanzania walio wengi wanasubiri, lakini wachache ni waaminifu katika ndoa zao (Machi 17, 2006)
- Marekani yatangaza msaada wa dharura kukabiliana na tishio la viwavijeshi nchini (Februari 23, 2006)
- Kitengo cha kuimarisha uchumi na biashara cha USAID kinatathmini fursa za ushirikiano nchini Tanzania (Februari 16, 2006)
- USAID yasaidia juhudi za Tanzania kuzuia mafua ya ndege (Februari 9, 2006)
- Kikundi cha muziki wa jazz kutoka Marekani chatua Dar-es-Salaam Jumanne. (Januari 31, 2006)
- Mhariri wa ‘Mtanzania Jumapili’ Aende Marekani Kwenye Mafunzo ya Uandishi wa Magazeti (Januari 27, 2006)
- Makamu Rais wa shirika la misaada la Millenium Challenge Corporation aja Tanzania (January 26, 2006)
- Afisa mwandamizi wa Marekani atembelea Pemba, afungua jumba la makumbusho (Desemba 22, 2005)
- Mradi Wa Rais Wa Marekani Wa Kudhibiti Malaria Tanzania Kuzinduliwa Leo Zanzibar (Desemba 19, 2005)
- Serikali ya Marekani yatoa msaada wa jenereta na vyandarua kwa maabara ya afya Pemba (Desemba 19, 2005)
- Balozi wa Marekani Aungana na TACAIDS Kuadhimisha SIku ya Ukimwi Duniani (Desemba 1, 2005)
- USAID yasaidia semina ya sayansi kwa wasichana Zanzibar (Novemba 21, 2005)
- Balozi wa Marekani atoa zaidi ya Sh. milioni 50 kusaidia miradi ya kutetea haki za binadamu (Oktoba 3, 2005)
- Serikali ya Marekani kupitia shirika la misaada la USAID yatoa msaada wa ziada wa dola milioni 6.5 kusaidia vita dhidi ya UKIMWI (Septemba 30, 2005)
- Shirika la USAID latoa dola 393,000 kusaidia mpango mpya wa kusindika korosho na kupanua masoko ya nje (Septemba 28, 2005)
- Mpango wa T-MARC wa shirika la misaada la USAID wazindua aina mpya ya kinga za kuzuia mimba ili kukabiliana na changamoto zinazohusu afya ya wanawake (Septemba 22, 2005)
- Balozi wa Marekani atembelea miradi ya elimu Visiwani Zanzibar inayofadhiliwa na USAID (Septemba 20, 2005)
- Balozi wa Marekani atembelea miradi inayofadhiliwa na mpango wa PEPFAR kwenye hospitali ya Mnazi Mmoja, Zanzibar (Septemba 19, 2005)
- Mfuko maalum wa Balozi wa Marekani wa kusaidia maendeleo katika jamii watoa Sh. milioni 80 kusaidia miradi 12 (Septemba 13, 2005)
- USAID yatoa $3.1 milioni kuboresha afya za familia za Watanzania (Agosti 24, 2005)
- Wahudumu wapya wa kujitolea wa Huduma ya Peace Corps waanza kazi katika vituo mbalimbali nchini kote (Agosti 17, 2005)
- Serikali ya Marekani kutoa zaidi ya dola 800,000 kwa ajili ya kudhibiti maambukizi ya UKIMWI Tanzania (Agosti 3, 2005)
- Viongozi wawili wa CUF waenda Marekani kuhudhuria mafunzo juu ya serikali za majimbo na serikali za mitaa (Agosti 3, 2005)
- USAID yatia saini mkataba wa $1.98 milioni kuchochea ukuaji wa uchumi Tanzania (Julai 29, 2005)
- Nasaha lakiuka maadili ya uandishi kwa kutumia picha za ngono (Julai 29, 2005)
- Serikali ya Marekani yatia saini mkataba wa dola milioni 4.5 na BBC (Juni 29, 2005)
- Marekani yakabidhi kituo cha utoaji wa damu Moshi (Juni 14, 2005)
- USAID yaipa Tanzania dola milioni 19.65 kusaidia vita dhidi ya UKIMWI (Juni 14, 2005)
- Marekani yakabidhi vifaa vya maabara kwa shule za sekondari pamoja na vitabu vyenye thamani ya dola 750,000 kwa Wizara ya Elimu, Utamaduni na Michezo ya Zanzibar (Juni 08, 2005)
- Ubalozi wa Marekani kukutana na Baraza la Vijana wa Kiislamu Tanzania (Juni 2, 2005)
- Tamasha la filamu kuadhimisha mwezi wa historia ya Wamarekani wenye asili ya Kiafrika 2005 (Februari 2, 2005)
- Mama Mongella Atunukiwa Tuzo Ya 2005 Ya Kumuenzi Martin Luther King (Januari 18, 2005)
- Ubalozi Wa Marekani Kuadhimisha Sikukuu Ya Martin Luther King (Januari 13, 2005)