Washington File Articles in Kiswahili
Hapo chini zimeorodheshwa makala za Washington File katika lugha ya Kiswahili. Makala hizi hutolewa na idara yetu inayoshugulikia masuala ya umma (Public Affairs Section)
Kwa taarifa zaidi kuhusu shuguli zetu kwa vyombo vya habari, tafadhali wasiliana na mtaalamu wetu wa masuala ya habari (Dar Press Office).
Makala za Washington File - 2007
- Wanawake Waislamu nchini Marekani ni mchanganyiko wa watu aina mbalimbali (April 19, 2007)
- Waziri Rice asisitiza umuhimu wa vyombo huru vya habari kwa demokrasia (April 11, 2007)
- Mpango wa PEPFAR wafanikiwa, ripoti ya uchunguzi yasema (Aprili 05, 2007)
- Vikosi vya kulinda amani kutoka Afrika vyafaidika na mafunzo ya kijeshi yanayotolewa na Marekani (Machi 21, 2007)
- Kuna uwezekano wa Zimbabwe kuwekewa vikwazo zaidi, yasema Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani (Machi 15, 2007)
- Bajeti ya 2008 ya mpango wa kupunguza makali ya UKIMWI (PEPFAR) yazidi fungu lililotengwa mwanzoni (Machi 14, 2007)
- Mwanamke wa Zimbabwe atunukiwa tuzo ya ujasiri (Machi 08, 2007)
- Marekani imejitoa kuwawezesha wanawake duniani kote (Machi 6, 2007)
- Misaada ya Marekani barani Afrika yaongezeka mara tatu zaidi wakati wa utawala wa Bush (Februari 28, 2007)
- Harakati za Marekani kupambana na UKIMWI huenda zikafikia kiwango kikubwa zaidi katika historia (Februari 13, 2007)
- Naibu Waziri Frazer aahidi msaada wa haraka kuleta utengemano Somalia (Februari 08, 2007)
- Marekani yaunda Kamandi mpya ya Afrika kuratibu shughuli za kijeshi (Februari 07, 2007)



